Tuesday, December 24, 2013

APONYWA MAUMIVU YA TUMBO BAADA YA MAOMBEZI UFUFUO NA UZIMA - MOROGORO

 Binti anayeitwa Amina Salum ambaye hapo awali kabla ya kuokoka alikuwa muislamu, alikuja katika mkutano wa Ufufuo na Uzima akisumbuliwa na magonjwa mbalimbali ambayo yalikuwa yakimsumbua.

Akieelezea tatizo lake, Amina alisema kuwa alikuwa na tattio la tumbo ambalo alikuwa akisikia kuwa tumbo linachomachoma ndani kiasi cha kushindwa kula. tatizo ambalo lilimnya adhohofu mwili siku hai siku.

Wakati Mhungaji Gwajima akipita katikati ya makutano alimkuta amekaa na mapepo walipomuona Mchungaji wakalipuka ndani yake ambapo yaliamriwa yatoke ; na baada ya kumtoka Amina akawa huru kabisa na akapokea muujiza wake. na tokea hapo, maumivu yote ya tumbo yaliyomsumbua miaka mingi yakaisha.
mUNGU KWETU SISI NI MUNGU WA KUOKOA NA NJIA ZA KUTOKA MAUTII ZINA YEYE.
Mchungaji Gwajima akiwa amemshika Amina baada ya maombezi.

No comments:

Post a Comment